MWIGIZAJI mahiri wa filamu nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’, amesema hupendelea uhusiano wa kimapenzi na wanaume wenye umri mkubwa kwake ili aweze kujifunza mengi kutoka kwao hata kama hawatokuwa wote maisha yote.
“Kipindi chote ambacho nimejikita kwenye uhusiano wa kimapenzi, nilikuwa nikipenda kuwa na watu wazima kwa kuwa naamini wanabadilisha maisha yangu kwa kuachana na maisha ya starehe kila kukicha kama wafanyavyo wanaume vijana.
“Nikisema niwe na desturi ya kutembea na vijana, lazima tutaendekeza starehe ambazo mwisho wake utakuwa mbaya katika maisha,” aliweka wazi Lulu.
Chanzo: Mtanzania
“Nikisema niwe na desturi ya kutembea na vijana, lazima tutaendekeza starehe ambazo mwisho wake utakuwa mbaya katika maisha,” aliweka wazi Lulu.
Chanzo: Mtanzania
Note: Only a member of this blog may post a comment.