Showing posts with label UCHAGUZI. Show all posts
Showing posts with label UCHAGUZI. Show all posts

Tuesday, November 24, 2015

Anonymous

MATOKEO RASMI ya Ubunge Jimbo Lililokua la Marehemu Waziri CELINA KOMBANI Haya Hapa

Chama cha mapinduzi (CCM) kimeibuka kidedea katika uchaguzi wa ubunge Jimbo la Ulanga baada ya mgombea wake, Goodluck Mlinga kupat...
Read More

Tuesday, November 17, 2015

Anonymous

Breaking News: Huyu Ndiye Spika wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

BREAKING NEWS: NDUGAI AIBUKA MSHINDI SPIKA WA BUNGE   Job Ndugai ameibuka mshindi wa kiti cha Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano ...
Read More

Monday, November 16, 2015

Anonymous

MATOKEO Rasmi ya Ubunge Jimbo la Lulindi Haya Hapa!

Jerome Bwanausi. Aliyekuwa mgombea wa kiti cha ubunge katika Jimbo la Lulindi kupitia Chama...
Read More

Thursday, October 29, 2015

Anonymous

Breaking News: Dr MAGUFULI Atangazwa Rasmi Kuwa Mshindi Wa Kiti cha Urais wa Tanzania! MATOKEO Yote Jumla Haya Hapa

Tume ya uchaguzi ya Tanzania Bara (NEC) kupitia Mwenyekiti wake Jaji Damian Lubuva imemtangaza Rasmi mgombea Urais wa CCM, Dr Joh...
Read More
Anonymous

Updates: Vyama Vya Siasa Vinatia Saini Muda Huu Kukubali Matokeo Yaliyotangazwa!

Vyama vyote vilivyosimamisha wagombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania vimeridhia usahihi wa matokeo ya Urais isipokuwa CHAUMMA...
Read More
Anonymous

PICHAZ: TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YATANGAZA MAJIMBO 69 YA MWISHO KWA NGAZI YA URAIS LEO MCHANA

Jaji Lubuva akiendelea kutangaza matokeo ya Urais kwa Majimbo yaliyo bakia Matokeo yakiendelea kutangazwa Baadhi ya waandishi wa H...
Read More
Anonymous

Breaking News: Matokeo Rasmi ya Ubunge Jimbo la MBAGALA Yametangazwa Muda Huu Licha ya Awali KutangazwaKuwa Yamefutwa!

Jimbo la Mbagala: Ali Mangungu wa CCM,ameshinda kwa jumla ya kura 87249 dhidi ya mpinzani wake wa karibu Kondo Bungo wa CUF, aliyepata ...
Read More
Anonymous

MSHTUKO MKUBWA! Mbunge Aliyeibua Sakata la ESCROW, David KAFULILA Watanzania Wampiga Chini UBUNGE!

Mgombea ubunge wa Kigoma Kusini kwa tiketi ya NCCR-Mageuzi, David Kafulila ameanguka katika matokeo yaliyotangazwa jana jioni dhidi ya mpi...
Read More
Anonymous

Yakiwa Yamebaki Majimbo 61 Tu...Hizi Ndio JUMLA ya Kura Walizopata Wagombea URAIS Kwa Majimbo Yote Yaliyokwisha Tangazwa

Matokeo hayo kwa ujumla wake: Idadi ya kura na asilimia kila mgombea alizopata haya hapa Endelea kufuatilia hapa kandiliyetu.c...
Read More

Wednesday, October 28, 2015