Showing posts with label AJALI. Show all posts
Showing posts with label AJALI. Show all posts

Saturday, December 31, 2016

Unknown

TAARIFA KAMILI Kuhusu Basi la National Express Lililopata Ajali Singida.... Laua na Kujeruhi Watu 26

Watu wawili wamefariki dunia na wengine 26 kujeruhiwa kwenye ajali iliyohusisha basi la kampuni ya National Express T.662 DEF, baada ya ku...
Read More

Tuesday, September 20, 2016

Unknown

Taarifa Kamili Kuhusu AJALI MBAYA Ya Basi La New Force Dar-Songea Iliyoua Watu 12

Watu 12 wamefariki dunia papo hapo na wengine tisa kujeruhiwa baada ya basi la kampuni ya New Force kupinduka katika eneo la Ilongwe kat...
Read More

Friday, July 1, 2016

Unknown

Taswira ya AJALI MBAYA Iliyoua Watu 11 Mapema Leo Mkoani Morogoro

AJALI MOROGORO: Watu 11 wafariki na wengine kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha lori la mafuta na basi la Ota, Dakawa Morogoro leo alfaj...
Read More
Unknown

Ajali Mbaya Ya Magari Matatu Yaua 11 Dakawa – Morogoro

Habari iliyoripotiwa hivi punde na kituo cha ITV ni kuhusu ajali ambayo imetokea eneo la Veta Dakawa mkoani Morogoro ikihusisha magari ...
Read More

Saturday, May 21, 2016

Anonymous

Basi Lingine la Mwendo Kasi Dar Lagongwa!

Basi la mwendo kasi limepata ajali katika junction ya Sheikh Yahya, Magomeni baada ya gari binafsi kupiga "u-turn" sehemu i...
Read More

Thursday, May 19, 2016

Anonymous

Breaking News: Ndege ya Egypt Imepoteza Mawasiliano Ikiwa na Abiria Kutokea Paris Ufaransa

EgyptAir Flight 804 imepoteza mawasiliano ikiwa angani kutokea Paris Ufaransa kwenda Cairo Misri ambako ilitakiwa kutua saa kadhaa zilizop...
Read More

Tuesday, May 17, 2016

Anonymous

Bodaboda Wagongana Jijini Mwanza, Mmoja Afariki!

Mwendesha pikipiki ambaye hajafahamika amefariki dunia baada kugongana uso kwa uso na mwenzake, eneo la Mabatini jijini Mwanza. Kamanda...
Read More

Wednesday, May 4, 2016

Anonymous

MAJANGA: Daladala Yaingia Njia ya Mwendo Kasi na Kuligonga Basi la Dart

Daladala yaacha njia yake na kuingia kwenye njia ya mabasi ya mwendo kasi na kuligonga basi la mwendo kasi lililokuwa katika maja...
Read More

Sunday, April 17, 2016

Anonymous

AJALI MBAYA Aliyoipata Msanii TUNDA MAN Iringa Leo April 17,Haya ni Maelezo ya Mwanzo (+PICHAZ&AUDIO)

Kama ni mtumiaji wa mitandao ya kijamii utakua umekutana na taarifa inayomhusisha Tunda Man kupata ajali akiwa Mkoani iringa Asubuhi ya ...
Read More

Monday, April 4, 2016

Anonymous

AJALI MBAYA DAR: Gari Lateketea Kwa Moto Pamoja na Dereva Akiwa Ndani... Share Habari Hii Imfikie Mwenye Gari

KUNA GARI IMEPATA AJALI MAENEO YA MBEZI BEACH AFRICANA GARI NO T598BEL TOYOTA LANDCRUISER DEREVA KAUNGUA HAJAFAHAMIKA HATA KWA SURA,SAMB...
Read More

Monday, March 21, 2016

Anonymous

Ajali Mbaya Yatokea Msafara wa Wabunge Kamati ya Tamisemi Bagamoyo... Lori Laparamia Msafara Vifo Vitano Vimeripotiwa

Msafara wa Wabunge wa kamati ya Tamisemi wapata ajali katika eneo ya mteremko wa kerege. Watumishi 5 wa Halmashauri ya Bagamoyo na dere...
Read More

Monday, March 14, 2016

Anonymous

4 PICHAZ: Basi la Abiria Lililopata Ajali Likiwa Limebakiza Dakika 15 Kuingia Dar es salaam

March 13 2016 usiku wa saa moja kumetokea ajali ya basi la Leina Tours lililoanguka maeneo ya Kimara Bucha, Dar es salaam na taarifa rasmi...
Read More

Saturday, March 12, 2016

Anonymous

MAAJABU ya Ile Ajali Mbaya ya DCM na Malori Iliyotokea Dar Jumatano

Ajali ilivyotokea Na Mwandish wetu, Risasi Jumamosi DAR ES SALAAM: Wakati ajali mbaya iliyohusisha magari matatu ikiwa bado...
Read More