Tuesday, September 29, 2015

Anonymous

Msafara wa Edward LOWASSA Wazuiwa Muheza na Korogwe [PICHAZ]


Msafara wa Mgombea wa Ukawa, Edward Lowassa umesimamishwa na maelfu ya watu Muheza..... Lowassa alikuwa anatoka Tanga...
Umati wa watu ni mkubwa sana sana hapa Muheza....
Haijawahi kutokea

Kwa mtiririko huu nawaambia ndugu zangu - Lowassa ni RAIS. Nasema hivyo kwa sababu kama na Tanga, Dodoma na Morogoro wamegeuza upepo basi uchaguzi umeshaisha kabla haujaanza.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.