Friday, October 9, 2015

Anonymous

PICHAZ: Fainali za BSS Kufanyika Leo...Hii Ndio Eneo La Tukio!

3 (2)1
2 (9)Maandhari  ya ukumbi huo kwa nje.3 (2)Mmiliki wa Ukumbi huo akiwa na wafanyakazi wa hapo.4 (2)Ukumbi wa King Solomon kwa ndani.5Baadhi ya wafanyakazi wakiwa katika pozi.
Fainali ya shindano la kusaka vipaji vya muziki, Bongo Star Search ‘BSS’ inatarajiwa kufanyika leo Ijumaa katika ukumbi wa kisasa kabisa unaoitwa King Solomon, uliopo Namanga jijini Dar.
Itakuwa ni mara ya kwanza katika ukumbi huo mpya kufanya shoo kubwa kama hiyo. Ukumbi huo una hadhi ya kipekee kabisa na mvuto wa aina yake.
Picha & Habari  na Imelda Mtema

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.