Showing posts with label KITAIFA. Show all posts
Showing posts with label KITAIFA. Show all posts

Monday, January 16, 2017

Unknown

Cheki Hapa Matokeo ya Mtihani wa Darasa la nne 2016 na Form Two 2016

Leo January 15 2017 Baraza la mitihani Tanzania ‘NECTA’ limetangaza matokeo ya upima...
Read More
Unknown

Matokeo ya Kidato cha Pili Yatangazwa... Yacheki Hapa! Pia Tazama Top 10 za Mwanzo na za Mwisho!

B araza la Mitihani nchini – NECTA limetoa matokeo ya mitihani ya upimaji kwa wanafunzi wa darasa la nne kwa shule zote za msingi nchini p...
Read More

Monday, January 2, 2017

Unknown

‘Nilikwepa Mawe Manne Kabla ya Kuchomwa Mkuki Mdomoni’ - Augustine Mtitu

Moja ya tukio lililomake headline wiki hii ni kuhusu mkulima, Augustino Mtitu aliyechomwa mkuki mdomoni na ukatokea shingoni kwa kile kilich...
Read More
Unknown

Kilichomponza Bosi TANESCO

HATUA ya Shirika la Umeme ya kupandisha bei ya umeme bila kushirikisha mamlaka nyingine za Serikali, zimemgharimu Mkurugenzi Mkuu wa sh...
Read More
Unknown

Mashehe, Maaskofu Watoa Dira 2017

MAASKOFU wa makanisa mbalimbali nchini, wamesema unyenyekevu wa viongozi wa serikali, uadilifu na uwajibikaji na kusimamia misingi ya upen...
Read More

Sunday, January 1, 2017

Unknown

Breaking News: Mkurugenzi wa TANESCO Atumbuliwa na Rais Magufuli Kufuatia Sakata la Kupandisha Bei ya Umeme

Rais John Pombe Magufuli leo tarehe 1/1/ 2017 ametengua uteuzi uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania 9TANESCO) Mhan...
Read More
Unknown

Rais Magufuli Asema Bei ya Umeme HAITAPANDA Hata Kidogo... Ampongeza Waziri Muhongo Kwa Kutengua Maamuzi ya UWURA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewahakikishia Watanzania kuwa licha ya Mamlaka ya udhibiti wa huduma z...
Read More
Unknown

POLE POLE Asema CCM Inahitaji Viongozi Waliojikita Katika Imani ya Chama!

Chama cha Mapinduzi CCM kimesema kinatarajiwa kufanya mabadiliko makubwa katika safu yake ili kuwapata viongozi waliojikita katika iman...
Read More
Unknown

Zitto Kabwe Atoa Ufafanuzi Huu Baada ya Baadhi ya Wabunge Kutofurahishwa na Tamko Lake

December 30 2016 mbunge wa Kigoma mjini na kiongozi mkuu wa chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe alitoa taarifa kuhusu madeni anayodaiwa...
Read More
Unknown

Rais JPM kufanya ziara ya siku mbili kwa waathirika wa tetemeko la ardhi Kagera 1 january 2017

Ikiwa imepita miezi mitatu na siku kadhaa toka kutokea kwa tetemeko la Ardhi mkoani Kagera leo Rais wa Jamhuri wa Muungano Mh. John Pombe ...
Read More
Unknown

Agizo la Waziri Mkuu Kwa Walimu Wanaoishi Mbali na Shule Zao

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza walimu wanaishi mbali na shule wakati shule zao zina majengo wahame mara moja na warudi kuishi kwenye ...
Read More
Unknown

Lowassa, Sumaye Waenda Gerezani!

Mawaziri wakuu wa zamani ambao ni wajumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa na Fredrick Sumay...
Read More
Unknown

Bosi Ndege za Serikali Afariki!

OFISA Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ndege za Serikali (TGFA), Kapteni Keenan Mhaiki, amefariki dunia jana saa 5:25 asubuhi katika Hospitali y...
Read More
Unknown

Wahamiaji Haramu 8,100 Wakamatwa Nchini!

JUMLA ya wahamiaji haramu 8,100 wamekamatwa katika maeneo mbalimbali nchini katika kipindi cha kuanzia Januari hadi Novemba, mwaka huu. K...
Read More
Unknown

Mwaka Mpya 2017: Mashine za EFDs ‘Kumwagwa’ Nchini!

ILI kuongeza mapato, serikali inatarajia kusambaza kwa wingi mashine za kielektroniki za Mamlaka ya Mapato (EFDs) mwaka huu. Lengo la ...
Read More
Unknown

TAMKO RASMI: Waziri Muhongo Azuia Bei Mpya Ya Umeme

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, ameitaka Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura) kusitisha bei mpya ya umeme i...
Read More
Unknown

TRA Yanasa Mali za Mabilioni Dar

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imekamata bidhaa za magendo, zilizoingizwa nchini kwa njia ya panya, ambazo zimeipotezea serikali kodi ya...
Read More
Unknown

Mfanyabiashara Ampiga Risasi ya Kichwani Mwanafunzi wa Sekondari... Wananchi Wachoma Lori Lake!

MFANYABIASHARA Robert Mwikwabe, maarufu kama Ndugu, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumpiga risasi ya kichwani na kusababishia kifo p...
Read More
Unknown

Serikali Yapiga Marufuku Kuzungumzia Faru John

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Ramo Makani amesema kuwa hakuna mwenye Mamlaka ya kutoa tamko au ufafanuzi kuhusu faru John kwa sasa ...
Read More

Saturday, December 31, 2016

Unknown

Huyu Ndiye Mfugaji Aliyemchoma Mkulima Mkuki Mdomoni Huko Morogoro (+Pichaz)

Wafugaji wa kijiji cha Changalawe kata ya Masanze wilaya Kilosa mkoani Morogoro walioyakimbia makazi yao wakihofia kukamatwa na jeshi la p...
Read More