Monday, September 7, 2015

Anonymous

Hii Ndio List ya Viongozi Wanaolipwa Pesa Nyingi Zaidi Duniani…

.
Ninayo list ya viongozi wa mataifa mbalimbali duniani wanaoongoza kwa kulipwa pesa nyingi , taarifa ikufikie kwamba anayeshika nafasi ya tano ni Michael D. Higgins ambaye ni rais wa jamhuri ya Ireland, nafasi ya nne inashikwa na waziri mkuu wa Australia Tony Abbott, nafasi ya tatu inashikwa na rais wa Marekani Barack Obama, nafasi ya pili inashikwa na kiongozi wa Hong Kong  Leung Chun-ying mshahara wake unauzidi mshahara wa rais wa China. 

Nafasi ya kwanza wanasema katika viongozi wa mataifa mbalimbali duniani anayelipwa pesa nyingi ni waziri mkuu wa Singapore Lee Hsien Loong.
.
Waziri Mkuu huyo ndio kiongozi wa taifa anayelipwa kwa mshahara mkubwa duniani akiwa analipwa dola za kimarekani milioni 1 na laki 7.
Unaweza ukabonyeza play kusikiliza list ya viongozi hao wanaolipwa pesa nyingi duniani

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.