Soudy Brown kapiga stori na Kajala kuhusiana na bifu kati yake na Wema, na ameweza kuzungumzia hatma ya ugomvi wao ambao kwa sasa umeonekana kuwa sugu.
Kajala amekiri kuwa hawezi kuwa tena na urafiki na Wema licha ya kujishusha na kuomba msamaha na kusema sasa watabaki kuwa marafiki wa zamani na si kingine na kamwe hatakaa kuzungumzia kuhusu suala hilo tena.
Isikilize hapa....
Kajala amekiri kuwa hawezi kuwa tena na urafiki na Wema licha ya kujishusha na kuomba msamaha na kusema sasa watabaki kuwa marafiki wa zamani na si kingine na kamwe hatakaa kuzungumzia kuhusu suala hilo tena.
Isikilize hapa....

Note: Only a member of this blog may post a comment.