Tuesday, June 23, 2015

Anonymous

HOT NEWS: RAPA TAJIRI DUNIANI P. DIDDY Akamatwa na Polisi!

Diddy amekamatwa na polisi kwa kudaiwa kupigana na kocha football wa chuo kikuu cha California, UCLA.
Tt7pTQvJ
Kwa mujibu wa mtandao wa TMZ, polisi wa chuo hicho walimkata rapper huyo tajiri jana.
Mtoto wa Diddy, Justin Combs anachezea kwenye timu ya UCLA. Kocha msaidizi alikuwa akimkalipia Justin uwanjani na Diddy hakupenda kiasi cha kumfuata na kutaka kumdunda.
Anaendelea kushikiliwa kwenye kituo cha polisi cha chuo hicho.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.