Jumla ya vitanda 500 na magodoro 500 vimeshushwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jana Baada ya Rais Magufuli Kuamuru hela za kufanyia Sherehe yake zaidi ya mil 200 zitumike kununulia vitanda vya wagonjwa.
kuna watu wengine bhana kila kitu kupinga hata Yale yanayofanyika na tunaona yanastahili kupongezwa. Nani angeweza kuliko Tinga tinga
kuna watu wengine bhana kila kitu kupinga hata Yale yanayofanyika na tunaona yanastahili kupongezwa. Nani angeweza kuliko Tinga tinga


Note: Only a member of this blog may post a comment.