Sunday, November 22, 2015

Anonymous

Hapa Kazi Tu Inaendelea..Vitanda na Magodoro Yamwagwa Muhimbili Hospital...Ni Baada ya Rais Magufuli Kusema Haya

Jumla ya vitanda 500 na magodoro 500 vimeshushwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jana Baada ya Rais Magufuli Kuamuru hela za kufanyia Sherehe yake zaidi ya mil 200 zitumike kununulia vitanda vya wagonjwa.
kuna watu wengine bhana kila kitu kupinga hata Yale yanayofanyika na tunaona yanastahili kupongezwa. Nani angeweza kuliko Tinga tinga

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.