Sunday, November 22, 2015

Anonymous

Mwanamke Ajifungua Mnyama Aina ya Mbweha Mkoani Tabora Nchini Tanzania

Mkazi wa kata ya Goweko, Wilaya ya Uyui, Hadija Ramadhan amejifungua kiumbe cha ajabu kinachofanana na mbweha.
Kiumbe hicho kilikuwa kivutio kikubwa kwa wakazi wa kijiji hicho na maeneo ya jirani ambao walisafiri hadi kijijini hapo kwenda kushuhudia.

Diwani mteule wa kata ya Goweko Shaban Katalambula alisema kiumbe kilichozaliwa kinafanana na Mbweha ambacho kilizaliwa na baada ya muda kidogo kilifariki.

Kwa upande wa mkunga aliyemzalisha mwanamke huyo Hobokela Mwasisya alisema kiumbe hicho cha ajabukilizaliwa juzi saa 3 na kufariki muda mchache baadaye. Alisema mwanamke huyo ambaye ni uzao wake wa tano alienda katika zahanati hiyo akilalamika kuumwa tumbo lakini wakati wa kujifungua hakutokwa damu jambo

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.