Nimetafakari maneno aliyoandika mwandishi wa gazeti la Raia mwema ndugu
Johnson Mbwambo, kwenye toleo la wiki hii Na.425. Anasema kitendo cha
Lowassa kujiunga na Chadema, chama ambacho kwa miaka mingi kimekuwa
kikimtuhumu kwa ufisadi ni kulipa kisasi.
Kwa maana sasa hivi Lowassa
amekuwa aki-enjoy kuona jinsi wakina Lissu na Mbowe wanavyohaha
majukwaani kumsafisha baada ya wao wenyewe kumchafua, kwake huo ni
ushindi mkubwa hata kama atashindwa uchaguzi.
Pia kwa upande mwingine ni kulipiza kisasi kwa CCM waliomkata, na sasa wanahaha kupambana na Chadema. Hata akishindwa atarudi kijijini kwake kama shujaa aliyewashikisha adabu adui zake...
Swali Langu :
Hivi ni kweli Lowassa analipa kisasi?
Pia kwa upande mwingine ni kulipiza kisasi kwa CCM waliomkata, na sasa wanahaha kupambana na Chadema. Hata akishindwa atarudi kijijini kwake kama shujaa aliyewashikisha adabu adui zake...
Swali Langu :
Hivi ni kweli Lowassa analipa kisasi?


Note: Only a member of this blog may post a comment.