Wednesday, September 30, 2015

Anonymous

PICHAZ: Kiuno Bila Mfupa Cha RAY C Kimerudi?! Shuhudia Muonekano Wake Huu Mpya Kabisa!

Huenda jitihada za Ray C kukirejesha kiuno chake kisichokuwa na mfupa zimeanza kuzaa matunda!
11899653_874380032655303_1739093828_n
Kwa muda mrefu muimbaji huyo amekuwa akijaribu kuupunguza unene wake uliompoteza muonekano wake wa zamani uliompa sifa jukwaani na sasa picha zake mpya zinaonesha mafanikio.
11950733_1478952769075140_211413848_n
Muimbaji huyo ambaye jina lake halisi ni Rehema Chalamila, ameshare picha zake mpya kuonesha hatua aliyofikia.
“Haka ni kanani???yaani sitaki kuamini haka katoto ni mimi uwiii !jamani nina furaha sana moyoni kumuona ray c.wa miaka ile yaani acha tu!je nipungue zaid au?sasa ndio muda wa kurudi rasmi kwenye muziki Babutale, Mkubwafela dada yenu niko tayari sasa,” ameandika.
11875464_367840173406889_1048489372_n
Unamuonaje Ray C huyu mpya?

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.