Diamond Platnumz a.k.a Baba Tiffah yuko kwenye orodha ya waliotajwa
kuwania tuzo zingine za nchini Nigeria, ‘The African Entertainment
Legend Awards (AELA)’.
Platnumz ametajwa kuwania vipengele viwili, ‘African Legends Artist
of The Year’ akichuana na Dbanj, P-Square, Faze, Reggie Rockstone,
Asa, R2bees pamoja na 2face.
Kipengele cha pili anachowania ni ‘Best collabolation’ kupitia wimbo
wake ‘Nana’ aliomshirikia Flavour. Katika kipengele hiki wasanii
anaowshindana nao ni Wizkid (Ojuelegba) ft Drake, Flavour (Sexy Rosey)
ft Psquare, Davido (Fans Mi) ft Meek Mill, Sarkordie (New Guy) ft. Ace,
Dbanj (Feeling The Nigga) ft. Akon, Kiss Daniel (Woju Remix) Ft Davido,
Tiwa savage, Skepta, Harrysong (Reggae blues) ft. Olamide,
Kcee,Orezi,Iyanya, Patoranking (My Woman) ft Wande coal.
Tuzo za AELA zitatolewa Novemba 11, 2015 jijini Lagos, Nigeria.
Ili kumpigia kura Diamond ingia hapa!
Note: Only a member of this blog may post a comment.