Saturday, September 12, 2015

Anonymous

Kuna Matapeli Wanakusanya Rambirambi za Msiba wa Mama Yake na Aslay – Yamoto Band

Yamoto Band inawatahadharisha watanzania kuhusu utapeli uliozuka mtandaoni wa kuomba rambirambi za msiba wa mama yake na Aslay
IMG_20150912_115432(1)
“Kuna mtu anatumia akaunti feki ya msanii wa Yamoto Band, Enock Bella akiomba kutumiwa rambirambi ya msiba wa mama mzazi wa Aslay Isihaka ambaye amefariki dunia leo asubuhi,” mtu aliye karibu na bendi hiyo ameiambia Bongo5.
“Mtu huyo anatumia namba 0716281999 na amesajili kwa jina la Aslay Isihaka. Tunawaomba wadau na mashabiki wa Yamoto Band na Aslay wapuuze tarifa hiyo sio za ukweli na hakuna utaratibu wa kutuma rambirambi katika simu.”

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.