Mrembo na mwigizaji wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ leo ameamua
kuwapa makavu laivu magazeti hayo kwa kile ambacho Lulu anadai wamekuwa
wakimbandika kwenye kurasa zao ya mbele kila leo kwa stori za
kuungaunga.
“Okay...Acha nitoe PROMO bila Malipo tu maana inawezekana watu wana uhitaji...
Kwahyo kuna Magazeti yanaitwa VISA Na LETE MAMBO (tutambue uwepo wao kwanza) Sasa Sina uhakika kama ni masharti ya Boss zao Au ni sheria yao kutopitisha muda bila sura yangu kwenye magazeti yao tena Kwa story za kujitungia tu...Sitaki mnidhihirishie Kwamba bila SURA YANGU kwenye makaratasi yenu biashara haifanyiki....mtajiuliza Kwann nimekuja kuwaweka insta,mnajua sababu....mnajifanya ni ma bingwa wa kuchukua Habari kwenye mitandao Ya kijamii Na kuziboresha kwa uongo...Ichukueni na HII basi....!!
Kama
kweli mna uhakika hata bila sura yangu kwenye makaratasi yenu
kazi/biashara itakuwepo kama kawaida naomba mnidhihirishie hata ndani Ya
miezi 3 tu....otherwise Basi niwe boss wenu mana bila mimi hamna
mishahara...!
Endeleeni na madudu yenu...ila msije kukaa kwenye RIGHT ANGLE Mta Love show..!
NAJUA MTAPITA TU Cjui kama mna account humu ningewatag kbsa..!”-Lulu aliandika kwenye ukursa wake wa Instagram.
“Okay...Acha nitoe PROMO bila Malipo tu maana inawezekana watu wana uhitaji...
Kwahyo kuna Magazeti yanaitwa VISA Na LETE MAMBO (tutambue uwepo wao kwanza) Sasa Sina uhakika kama ni masharti ya Boss zao Au ni sheria yao kutopitisha muda bila sura yangu kwenye magazeti yao tena Kwa story za kujitungia tu...Sitaki mnidhihirishie Kwamba bila SURA YANGU kwenye makaratasi yenu biashara haifanyiki....mtajiuliza Kwann nimekuja kuwaweka insta,mnajua sababu....mnajifanya ni ma bingwa wa kuchukua Habari kwenye mitandao Ya kijamii Na kuziboresha kwa uongo...Ichukueni na HII basi....!!
Endeleeni na madudu yenu...ila msije kukaa kwenye RIGHT ANGLE Mta Love show..!
NAJUA MTAPITA TU Cjui kama mna account humu ningewatag kbsa..!”-Lulu aliandika kwenye ukursa wake wa Instagram.
JIUNGE NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.KAMA KUNA TATIZO AU
UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142.
ASANTE NA KARIBU
TENA!


Note: Only a member of this blog may post a comment.