Monday, August 3, 2015

Anonymous

8 PICHAZ: Tazama Hapa Mchezaji Bora wa Dunia Cristiano RONALDO Alivyokua Enzi Zake za Utoto!

Cristiano Ronaldo ni mchezaji nyota wa kimataifa wa Ureno ambae wengi tumemfahamu kupitia vilabu vya Manchester United na Real Madrid ya Hispania, Ronaldo ni mtoto wa nne katika familia ya  Maria Dolores dos Santos na Jose Dinis Aveiro.
Cristiano-Ronaldo-Childhood-pic1
Hadi sasa moja kati ya vitu vinavyomuumiza Cristiano Ronaldo ni kifo cha baba yake mzazi marehemu Jose Dinis Aveiro ambapo huwa anatamani angekuwa hai hadi leo hafaidi mafanikio yake aliyoyapa katika soka. Jose Dinis Aveiro alifariki mwaka 2005 kutokana na ulevi wa pombe kupindukia ambao ulisababisha kupata tatizo la Ini.
Cristiano-Ronaldo-Childhood-pic2
Nimekusogezea picha za utoto za Cristiano Ronaldo akiwa na wazazi wake na ndugu zake wengine

Cristiano Ronaldo akiwa na baba na mama yake
Cristiano-Ronaldo-Childhood-pic5
Cristiano-Ronaldo-Childhood-pic4
Cristiano-Ronaldo-Childhood-pic03
De-vader-van-Cristiano-Ronaldo

Kaburi la baba yake Ronaldo na mama yake kulia

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.