Tuesday, August 18, 2015

Anonymous

PICHAZ: Mtoto Mzuri MENINAH Afunga Ndoa Kimya Kimya?!

Meninah 3
Huenda sio Flaviana Matata pekee aliyeolewa weekend hii. Inaonekana kuwa muimbaji wa ‘Kaniganda’ Meninah naye amefunga pingu za maisha japo kimya kimya!
Meninah
Habari zilisambaa kuwa Jumapili hii, Meninah alifunga ndoa na ameendelea kupongezwa na watu wengi kwenye mtandao wa Instagram.
Meninah 3
Meneja wa muimbaji huyo ambaye pia ni kaka yake, Atick amethibitisha kuwa ni kweli dada yake ameolewa.
Meninah 2
“Yeah ni kweli ameolewa Meninah, mengine siwezi kuongea zaidi ya jibu hilo basi,” amesema Atick.
Kama ni kweli, tunampongeza Meninah kwa hatua hiyo.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.