WAKATI zikiwa zimesalia siku 3 ili agizo la Mhe Rais la kusafisha maeneo
yanayotuzunguka ili kupunguza kasi ya maambukizi na kuenea kwa
kuambukiza kama kipindupindu na mengineyi ya mlipuko,baadhi ya
halimashauri zimeanza kuwasisitizia maafisa wake juu ya agizo hilo.
Halmashauri
ya Kinondoni imefanikisha jambo hilo,ambapo ‘imewalima’ barua maofisa
wake wote juu ya kuzingatia siku hiyo ambayo pia itakuwa ni siku ya
kusherekea Uhuru wa Tanzania
-via mtembezi
Note: Only a member of this blog may post a comment.