Tuesday, August 18, 2015

Anonymous

Aslay Adai Hajutii Kumwanika Mtandaoni Mpenzi Wake!

Muimbaji wa Yamoto Band, Aslay amesema kumweka wazi mpenzi wake kumempunguzia usumbufu kwa kiasi kikubwa.
Aslay na mpenzi wake wakiwa shopping Aslay akiwa na mpenzi wake
Aslay ameiambia Bongo5 kuwa alitumia njia hiyo ili kuwapunguza wasichana waliokuwa wakimnyemelea.
“Unajua sisi ni public, wengi wanakuangalia kwa mtazamo tofauti, lakini kwa upande wangu uamuzi wa kumweka mpenzi wangu wazi kila mtu amjue kimenisaidia sana,” amesema.
“Sasa hivi sisumbuliwi kabisa, mambo ya ndoa bado ila tuombe Mungu tu wakati ukifika kila kitu kitakuwa wazi.”

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.