Soudy Brown kapata tetesi kuwa ndoa ya mastaa wawili Besta na Marlaw imevunjika..na akaona si vibaya kupata ukweli juu ya hilo.
Amezungumza na Besta ambaye amesema si kweli kama ameondoka nyumbani
kwake na mpaka sasa bado anaishi na mume wake maeneo ya Mbweni, Dar es
salaam… pia si kweli kama anamkataza kufanya muziki bali anajipanga na
bado ataendelea na kazi zake kama kawaida.
Wasikilize hapa…

Note: Only a member of this blog may post a comment.