Thursday, August 27, 2015

Anonymous

Cristiano RONALDO kafanya hili tena kwa muhanga wa tetemeko la ardhi Nepal (Picha)

Mwezi April kulitokea tetemeko la ardhi Nepal, tetemeko ambalo liliua watu wapatao 9,000. Miongoni mwa watu waliokuwa wahanga wa tetemeko hilo ni kijana mwenye umri wa miaka 13 Jetin Shrestha ambaye wakati tukio hilo likitokea kijana huyo alikuwa akicheza mpira.
Ronaldo-main
August 27 Cristiano Ronaldo karudi tena kwenye headlines na hii baada ya zile headlines za kutoa msaada wa maafa hayo kwa kutoa pound milioni 7, amemtumia Jetin Shrestha jezi ya Real Madrid aliyoisaini yenye namba saba na jina lake, Ronaldo amefanya hivyo ikiwa ni miezi michache imepita toka atoe pound milioni 7 kwa wahanga wa tetemeko hilo.
“Nampenda Cristiano Ronaldo naipenda Real Madrid siku moja ningependa kucheza Real Madrid kwa sababu napenda mpira”>>> Jetin Shrestha
Cristiano-Ronaldo-sends-shirt (3)
Cristiano-Ronaldo-sends-shirt (2)
Cristiano-Ronaldo-sends-shirt (1)

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.