Katika mechi za hatua ya makundi ya ligi ya mabingwa barani Ulaya,
Hispania imekuwa nchi ya kwanza kuwa na timu tano zilizofuzu baada ya
Valencia kufungwa na Monaco 2-1 lakini ushindi wa jumla wa mabao 4-3
dhidi ya baada ya mechi ya kwanza Valencia kushinda 3-1.
Wachezaji wa Valencia wakishangilia baada ya kufudhu UEFA
Klabu ya Valencia inaungana na Real Madrid, Barcelona na Atletico
Madrid. Sevilla pia wapo kufuzu kupitia ushindi wao katika msimu
uliopita wa ligi ya Ulaya.
Kocha wa Valencia Nuno Espirito Santo (katikati) akishangilia na wachezaji wake baada ya mchezo kuisha

Note: Only a member of this blog may post a comment.