Msimu mpya wa kipindi cha Mkasi utaonekana kwenye salon mpya kabisa.
Tofauti na salon ya mwanzo iliyotumika kwenye misimu miwili iliyopita, hii inamilikiwa na wao wenyewe.
Msimu mpya wa kipindi cha Mkasi utaanza hivi karibuni.
Kandili Yetu [KY] Ni Blog Inayoongoza Kwa Kukupatia Habari Pendwa Za Mastaa 'UDAKU' wa Bongo Na Ngambo, Matukio, Ya Kitaifa, Kimataifa Siasa, Michezo Na Burudani!
Note: Only a member of this blog may post a comment.