Miongoni mwa vipimo vya mafanikio kwa mwanamuziki yeyote duniani ni
pamoja na namba, ndio maana ni muhimu sana kwa msanii kuhakikisha ana
namba zinazoshawishi katika mitandao yake ya kijamii kwa maana ya
followers, na views za kutosha Youtube.
Diamond amewashukuru mashabiki wake kwa kuandika; “Watazamaji zaidi ya Milioni kumi 10M, nawashkuru sana… amini si mimi ni Nyinyi na mimi ndio kwapamoja tunakuza Mziki huu…InshaAllah Mwenyez Mungu atusmamie tuzidi fika Mbali…Tuseme Amen.”


Note: Only a member of this blog may post a comment.