Mke wa mchezaji wa zamani wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa ya Uingereza Victoria Beckham amemuonyesha Olive na kuandika huku akijivunia kuwa ni sehemu ya familia yake. Olive ni mbwa ambaye familia yake imemuongeza katika nyumba yao.
Kupitia account ya Instagram ya Victoria Beckham alionyesha
picha ya mbwa wao mpya na kuelezea furaha yake ya kuwa na kiumbe hicho
katika familia yao. Wazungu huwa na utamaduni wakuheshimu sana mbwa,
hata mfumo wa maisha yao, mbwa anaingia ndani wakati wowote na kukaa
mahala popote hii ni tofauti kidogo na Afrika.

Note: Only a member of this blog may post a comment.