PICHAZ: JIONEE MUONEKANO MPYA WA MAMAA MAJANGA SNURA BAADA YA KUJIFUNGUA!
Siku si nyingi sana mwanamama Snura wa Majanga amejifungua mtoto wake wa pili. Kumekua na maneno kua Snura hataki watu wamuone mtoto wake na hata hakupenda watu wajue kua kajifungua. Mpya kutoka kwa Snura jinsi mwili wake ulivyoongezeka uzito.
Snura mwenyewe kupitia akaunti yake ya instagram ameweka picha hii na kuambatanisha na ujumbe huu "Kupungua kunanihusu.....si kwa ubonge huu"
ASANTE NA KARIBU
TENA!
USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK
TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)
Filed Under:
WASANII
on Wednesday, February 18, 2015
Note: Only a member of this blog may post a comment.