Friday, December 11, 2015

Anonymous

Nina Hakika Hili Baraza Halikuwa Chaguo la Mheshimiwa John Pombe MAGUFULI


Kwa kweli imenishangaza sana. Ikiwa mkuu wetu ni msafi imekuwaje akarudisha baadhi ya watu waliotutia hasara kubwa na hata ikapelekea kujiuzulu baada ya kelele za wananchi kuwa kubwa.

Tena kuna wengine wana dharau sana kwa wananchi pia nimewaona. 

Kwa kweli bado sijaamini. Inaonekana kuna shinikizo, but, tusubiri!!

Source: Jamii Forums

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.