Mvua ilinyesha mfululizo Dar, hali ya Jangwani haikuwa poa kabisa kutokana na ishu ya mafariko.. unadhani watu waliovamiwa na mafuriko wamehama?

Hii ilikuwa May 2015, Maji yalijaa mpaka juu ya Barabara magari yakashindwa kuvuka kabisa.

Wengine wakapata kabisa dili kuvusha watu kwa kuwabeba mgongoni

Huu ndio mwonekano wa Jangwani leo June 15 2015
Wapo waliobaki na maisha yanaendelea kama kawaida japo mafuriko yaliwakumba pia.. Hizi ni pichaz nilizozipata leo June 15 2015.







Hii ilikuwa May 2015, Maji yalijaa mpaka juu ya Barabara magari yakashindwa kuvuka kabisa.
Wengine wakapata kabisa dili kuvusha watu kwa kuwabeba mgongoni
Huu ndio mwonekano wa Jangwani leo June 15 2015
Wapo waliobaki na maisha yanaendelea kama kawaida japo mafuriko yaliwakumba pia.. Hizi ni pichaz nilizozipata leo June 15 2015.
-via milardayo

Note: Only a member of this blog may post a comment.