Ni Jumatatu ya April 20 ambapo kwenye zile zilizoandikwa Magazetini na kusomwa kwenye Power Breakfast ya CloudsFM
iko story ya jumla ya magari 400 kuibiwa Dar es salaam kwa mwaka 2013,
nyingine kubwa ni CHADEMA kusema haiko tayari kuikaribisha ACT
Wazalendo ndani ya UKAWA.
Mbunge wa Monduli Edward Lowassa
ametaka wauaji wa Albino wapelekwe kwa Rais, waathirika wa dawa za
kulevya Dar es salaam wafanyiwa ibada maalum, serikali leo itatoa tamko
kuhusu mauaji ya raia wa kigeni yanayoendelea Afrika Kusini na Rais wa
Afrika Kusini, Jacob Zuma amewahakikishia usalama raia wa kigeni nchini humo na kusema serikali yake itachukua hatua.
Unazitaka stori zote? kuzisikiliza bonyeza play hapa chini >>>>
-via millardayo


Note: Only a member of this blog may post a comment.