Shughuli pevu wikiendi hii Ligi kuu England
Ligi Kuu England itaendelea tena wikiendi hii ambapo michezo saba ya mzungo wa raundi ya 24 itapigwa katika viwanja tofauti.
katika
uwanja wa White Hart Lane, Tottenham wataikaribisha Arsenal kwenye Dabi
ya London ya Kaskazini, Arsenal wako nafasi ya tano wakiwa na pointi 42
huku Tottenham wakiwa nafasi ya sita kwa pointi 40.Alexis Sanchez atakosa mchezo huu kutokana na kuwa majeruhi huku mshambuliaji Dany Welback atakua anarejea baada ya kuwa nje ya uwanja toka mwezi Desemba.
Man City walioko nafasi ya pili kwa alama 48 alama 5 nyuma ya vinara Chelsea wao watakua na kibarua cha kuwania alama tatu muhimu kwa kuwakabili Hull city.
Majongoo wa jiji Liverpool watachuana na wapinzani wao wakubwa Everton katika kuwania pointi tatu muhimu.
Michezo mingine itakua ni kati ya timu inayoburuza mkia Leicester City dhidi ya Crystal Palace, huku QPR wakishuka dimbani kuwakabili Southampton, Swansea na Sunderland.
Mchezo wa mwisho wa ligi hiyo kwa siku ya Jumamosi utakua ni kati ya Everton na Liverpool.
England - Premier League
15:45
Tottenham Hotspur ? - ? Arsenal
18:00
Aston Villa ? - ? Chelsea
18:00
Leicester City ? - ? Crystal Palace
18:00
Manchester City ? - ? Hull City
18:00
Queens Park Rangers ? - ? Southampton
18:00
Swansea City ? - ? Sunderland
20:30
Everton ? - ? Liverpool
15:45
Tottenham Hotspur ? - ? Arsenal
18:00
Aston Villa ? - ? Chelsea
18:00
Leicester City ? - ? Crystal Palace
18:00
Manchester City ? - ? Hull City
18:00
Queens Park Rangers ? - ? Southampton
18:00
Swansea City ? - ? Sunderland
20:30
Everton ? - ? Liverpool
JIUNGE
NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.KAMA KUNA TATIZO AU
UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142.ASANTE NA KARIBU
TENA!
-BBC SWAHILI


Note: Only a member of this blog may post a comment.