Saturday, February 7, 2015

Anonymous

PICHAZ: AJALI MBAYA..BASI LA HARAMBEE LAGONGANA NA LORI MKOANI KILIMANJARO LEO!

Muonekano wa ajali baada ya basi la Harambee kugongana na lori eneo la Uchira mkoani Kilimanjaro mchana wa leo.
Muonekano wa mbele wa lori baada ya ajali.
Muonekano wa basi la Harambee baada ya ajali.
AJALI mbaya imetokea mchana wa leo eneo la Uchira mkoani Kilimanjaro baada ya basi la Harambee kugongana na lori na kusababisha watu sita kujeruhiwa na wawili kati ya hao kuumia zaidi.
Mtandao huu uliongea na kamanda wa polisi wa mkoa wa kilimanjaro na kathibitisha ajali hiyo kutokea.
MAKUBWA NA MAZITO HAYA: MAMA 'AKE NAY WA MITEGO HAPOKEI PESA ZA MWANAYE! 
===>>SOMA ZAIDI HAPA!
JIUNGE NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.KAMA KUNA TATIZO AU UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142.ASANTE NA KARIBU TENA!
(Picha: Global WhatsApp +255 712 919142)

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.