Wednesday, December 21, 2016

Unknown

PICHA 20: Kutoka kwenye Birthday Party ya Shilole Kiuno


Sherehe za birthday nazo zina uzito wake, unaambiwa msanii kutoka Bongoflevani, Shilole alifanya Birthday Party yake usiku wa Dec 20 2016 wakaalikwa mastaa wengi kutoka Bongo Movie na Bongo Fleva iliyofanyika club ya Next Door VIP Lounge.
Nimekuwekea hapa picha kutoka kwenye Birthday Party hiyo

Shilole akiwa na mchumba wake mpya





.Julio, Shilole, DJ Zero na Chege








.Shilole akiwa na Qureen Darleen

 
.

.Shilole akiwa na Johari & Irene Uwoya

.Pichani: Shilole akiwa na Dogo Janja (Kushoto) na Billnas (Kulia)
-via Millardayo

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.