Sunday, October 4, 2015

Anonymous

Wanasoka 10 Wenye Mvuto Zaidi Duniani...CR7 Ndani, MESSI Nje!

Hii ni orodha ya wanasoka 10 wenye mvuto zaidi Duniani hii ni kwa mujibu wa ttandao wa www.sokkaa.com umetoa orodha hii ‘Most Handsome Footballers in the World’
10. Mats Hummels-Borussi Drtmund
Dienstag 16.07.2013, 1. Fussball - Bundesliga, Saison 13/14 - Der BVB im Trainingslager in Bad Ragaz / Schweiz, BV Borussia Dortmund, Mats Julian Hummels (BVB) Foto: DeFodi.de +++ Copyright Vermerk DeFodi.de -- DeFodi Ltd. & Co. KG, Wellinghofer Str. 117, D- 44263 D o r t m u n d, sport@defodi.de, Tel 0231-700 500 44, Fax 0231-700 54 90, C o m m e r z b a n k D o r t m u n d, Kto: 36 11 76 100, BLZ: 440 400 37 // BIC COBADEFF440 // IBAN: DE74 4404 0037 0361 1761 00 // Steuer-Nr.: 315/5803/1864 , USt-IdNr.: DE814907547 - 7% MwSt.
Ni mchezaji wa kijerumani anaye chezea klabu ya Dortimnd ambaye ni nahodha wa kikosi hicho
9. Gerrard Piqué–FC Barcelona Gerad Pique
Gerrard Pique anakamata nafasi ya tisa kwenye orodha ya wachezaji wa mpira wenye mvuto zaidi.
8. Cesc Fabregas -Chelsea Cesc Fabregas
Fabregas pia ni mwanaume mwenye mvuto na anashika namba nane kwenye orodha hii.
7. Mario Gotze-Bayern Munich Mario Gotze
Ni kiungo wa klabu ya Bayern Munich ambaye alipata heshima kubwa katika michuano ya kombe la Dunia mwaka 2014 dhidi ya Argentina kwa kuifungia nchini yake Ujerumani goli peke la ushindi.
6. Fernando Torres-Atletico Madrid Former Atletico Madrid soccer player and new Liverpool FC signing, Fernando Torres, arrives for a press conference at the Vicente Calderon stadium, in Madrid, Wednesday, July 4, 2007. (AP Photo/Daniel Ochoa de Olza)
Fernando Tores a.k.a ‘El Nino’ ameshika nafasi 6 ni mchezaji ambaye huwavutia sana watoto wa kike kwa stayle ya nywele na umbo la mwil.
5. Van Persie-Fenerbahce S.K. 2A731F3100000578-0-image-m-6_1436639815470
Robin van Persie amshika nafasi ya 5 hivi sasa anakipiga katika klabu ya Fenerbahce S.K.
4. Iker Casillas–FC Porto Casillas1
Iker Casillas ni miongoni mwa golikipa pekee katika list hii wacheza mpira wenye mvuto zaidi dunian ambaye kwasasa anakipiga katika Kalbu ya FC Porto
3. David Villa–New York City FC David-Villa
David Villa amengia kwenye orodha ya wachezaji wenye mvuto pamoja na style nzuri ya nwele zake.
2.Kaka–Orlando City FC kaka2
Ricardo Kaka anashika nafasi ya pili kwenye orodha hii
1.Cristiano Ronaldo-Real Madrid Ronaldo15
Mchezaji wa mpira wa miguu mwenye mvuto zaidi duniani Cristiano Ronaldo wa klabu ya Real Madrid. Mvuto wa sura, style ya nywele na umbo zuri ni baadhi ya vitu vinavyowachanganya watoto wa kike.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.