Sunday, October 4, 2015

Anonymous

PICHAZ: Msanii MAROMBOSO Wa Yamoto Band Aogeshwa Ndoo ya Tope Kwenye Birthday Yake!

Ukisherehekea siku yako ya kuzaliwa siku hizi inabidi ujiandae kuoga bila kupenda.

12070652_1689808671230535_2085467192_n (1)

Bahati mbaya hutaishia kuoga maji tu, bali utaogeshwa na kila aina ya kimininika hususan pombe – wanaziita ndoo!

Lakini muimbaji wa kundi la Yamoto Band, Maromboso ambaye jana alisherehekea siku yake ya kuzaliwa alimwagiwa ndoo ya tope!
11374121_1505881463068869_1379413626_n

“aaaaah!!!!..imenifanya kama”John Rambo” ..ikipita yangu ya anayefata atajua popo Ni mnyama au ndege,” ameandika muimbaji huyo wakati washkaji zake walipokuwa wakimminia matope.

Katika picha nyingine Maromboso ameandika: Asanteni sanaaaaa….ila tutaonana tu …Happy birthday to Me.”

Maromboso ameahidi kulipiza kisasi!

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.