Jarida la Forbes limetoa orodha mpya ya wasanii wa Hip Hop wanaolipwa fedha nyingi zaidi duniani kwa mwaka 2015.
Sean “Diddy” Combs ndiye anayeongoza orodha ya mwaka huu (Kutoka
nafasi ya pili aliyoshika mwaka jana) na kufanikiwa kumuengua Dr. Dre
kwa kutengeneza $60 million. Fedha nyingi za Diddy zimetokana na miradi
yake ya Ciroc vodka pamoja na brand zingine.
Jay Z ameendelea kushikilia nafasi ya pili kama ilivyokuwa mwaka
jana, akiwa ametengeneza $56 million kupitia Roc Nation pamoja na Armand
de Brignac champagne.
Drake amejivuta hadi nafasi ya tatu (kutoka nafasi ya 4 mwaka jana),
akiwa ameingiza $39.5 million zilizotokana na tour zake, pamoja na
endorsement za Sprite na Nike.
Kutoka nafasi ya kwanza hadi namba 4 mwaka huu imeshikwa na Dr. Dre,
akiwa ametengeeza $33 million, na nafasi ya tano imeshikiliwa na
Pharrell Williams aliyetengeneza $32 million.
HIP-HOP CASH KINGS 2015 (orodha kamili)
1. Diddy: $60 million
2. Jay Z: $56 million
3. Drake: $39.5 million
4. Dr. Dre: $33 million
5. Pharrell: $32 million
6. Eminem: $31 million
7. Kanye West: $22 million
8. Wiz Khalifa: $21.5 million
9. Nicki Minaj: $21 million
10. Birdman: $18 million
11. Pitbull: $17 million
12. Lil Wayne: $15 million
13. Kendrick Lamar: $12 million
13. J. Cole: $11 million
14. Snoop Dogg: $10 million
16. Rick Ross: $9 million
17. Tech N9ne: $8.5 million
18. Ludacris: $8 million
19. T.I.: $6 million
20. Macklemore & Ryan Lewis: $5.5 million
1. Diddy: $60 million
2. Jay Z: $56 million
3. Drake: $39.5 million
4. Dr. Dre: $33 million
5. Pharrell: $32 million
6. Eminem: $31 million
7. Kanye West: $22 million
8. Wiz Khalifa: $21.5 million
9. Nicki Minaj: $21 million
10. Birdman: $18 million
11. Pitbull: $17 million
12. Lil Wayne: $15 million
13. Kendrick Lamar: $12 million
13. J. Cole: $11 million
14. Snoop Dogg: $10 million
16. Rick Ross: $9 million
17. Tech N9ne: $8.5 million
18. Ludacris: $8 million
19. T.I.: $6 million
20. Macklemore & Ryan Lewis: $5.5 million
Note: Only a member of this blog may post a comment.