Muigizaji na muongozaji mkongwe wa filamu hapa Bongo, Jacob Stephen amewataka mashabiki kupenda kazi za nyumbani ili kuzipa uzito kwenye nchi za jirani.
Hali hiyo alisema JB inafanya soko la kazi za wasanii kuwa ngumu pia katika nchi jirani.
"Hakuna kitu kigumu kama kuandaa na kutengeneza filamu mpaka ikamilike lakini baadhi ya mashabiki wanatukatisha tamaa na ndiyo chanzo cha wasanii wengi kuishia njiani," alisema JB.
Chanzo: Lete Raha

Note: Only a member of this blog may post a comment.