Nimekutana na hii video ambayo ni gumzo kwa sasa mitandaoni ikisambaa kwa kasi nikaona nishee nawe mdau wangu!
Tazama video hiyo hapa chini!
Tazama video hiyo hapa chini!
MASWALI YA KUJIULIZA:
Hivi kweli kuna timu inaiwa Diamond Platinumz?! Huyu si ni msanii jamani?! Ndio kusema kwamba jina la msanii huyu limewakaa watanzania midomoni kihivi au ina maana gani?! Ulimi hauna mfupa jamani mimi napita tu, sema wewe mdau!
Tupia maoni yako hapo chini kwa comment box tafadhali!
Kama kifaa chako hakina uwezo wa kusoma Player hii==>> BONYEZA HAPA!
Hivi kweli kuna timu inaiwa Diamond Platinumz?! Huyu si ni msanii jamani?! Ndio kusema kwamba jina la msanii huyu limewakaa watanzania midomoni kihivi au ina maana gani?! Ulimi hauna mfupa jamani mimi napita tu, sema wewe mdau!
Tupia maoni yako hapo chini kwa comment box tafadhali!
Kama kifaa chako hakina uwezo wa kusoma Player hii==>> BONYEZA HAPA!
Note: Only a member of this blog may post a comment.