Thursday, September 10, 2015

Anonymous

DUNIA INA VITUKO: Mama Mzazi wa WIZ Khalifa Akiri Kumfundisha Mwanaye Kuvuta Bangi!

Mzazi ana nafasi kubwa ya kuitengeneza njia ya maisha ya mwanaye iwe ya lami au ya mashimo ya kutosha, kwasababu mengi wayafanyayo watu wazima wa sasa yalichangiwa na makuzi ya udogoni.
 
Wiz Khalifa na mama yake
Mama mzazi wa rapper Wiz Khalifa wa Marekani, Katie ‘Peachie’ Wimbush-Polk amekiri kuwa yeye ndiye aliyemfundisha staa huyo kutumia kilevi cha bangi toka akiwa mdogo.
Akizungumza na The Sun, Peachie alisema kuwa kabla hajaenda kwenye shughuli zake na kabla Wiz hajaenda shule enzi za udogo wake walikuwa wakivuta bangi pamoja, na kuongeza kuwa alipata tabia hiyo kutoka kwake.
“Before I went to work, before he went to school, it was our way of bonding. We would smoke together. He got his habit from his mother.”- Peachie

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.