TETESI Mtaani leo:
Katika kile ambacho inasemekana itakua pigo kwa CCM kuna wagombea zaidi ya 30 ambao wamepitishwa na CCM ambao wameamua kuvaa gwanda na watatambulishwa rasmi Jangwani. Asilimia kubwa wanatokea kanda ya ziwa na kadhaa kanda ya kaskazini, mpaka Jana jioni walikua wameshahakikishiwa usalama wao ili kujiunga na jeshi la ukombozi wa malofa. Aluta continua
Katika kile ambacho inasemekana itakua pigo kwa CCM kuna wagombea zaidi ya 30 ambao wamepitishwa na CCM ambao wameamua kuvaa gwanda na watatambulishwa rasmi Jangwani. Asilimia kubwa wanatokea kanda ya ziwa na kadhaa kanda ya kaskazini, mpaka Jana jioni walikua wameshahakikishiwa usalama wao ili kujiunga na jeshi la ukombozi wa malofa. Aluta continua


Note: Only a member of this blog may post a comment.