Wednesday, August 19, 2015

Anonymous

PICHAZ: ALIKIBA na Ne-Yo Wakifanya Yao Jijini Nairobi!

924676_873149446100081_1465182151_n
Muimbaji wa Mwana, Alikiba Jumatatu hii alikutana uso kwa uso na msanii wa Marekani, Ne-Yo kwenye kipindi cha Coke Studio Afrika jijini Nairobi, Kenya.
unnamed
Alikiba na Ne-Yo walijumuika pia na wasanii wengine wa Afrika wakiwemo Wangechi (Kenya), Dama Do Bling (Mozambique), Ice Prince (Nigeria) na Maurice Kirya (Uganda).
924676_873149446100081_1465182151_n
Wasanii hao watarekodi wimbo wa pamoja. Msimu mpya wa Coke Studio Africa utazinduliwa Oktoba mwaka huu.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.