Monday, August 3, 2015

Anonymous

MATOKEO RASMI ya Kura za Maoni Iramba CCM

Tanzania bado iko kwenye headlines za uchaguzi ambapo mpaka sasa wapo Wabunge kadhaa mwaka huu inawezekana tusiwaone kwenye Bunge letu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
August 03 Katibu wa Ccm wilaya ya Iramba kayatoa matokeo ya Jimbo hilo ambapo ameanza kwa kutoa idadi ya Wanachama wa Ccm wote 59,393,Kura zilizopigwa 33,825,kura zilizoharibika 367 na kura halali ni 33,452

Mwigulu Nchemba

Mwigulu Lameck Nchemba amepata kura 28,778,Juma Hasani Kilimba 2375,David Kitundu Jairo 2064 na Amoni Julius Gyunda 241.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.