Oooh Lowassa Sijui hajui kuongea, hotuba zake ovyo sijui kalikwenda
kakarudi, watz bana cjui vipi... Kwa sasa hatuwataki tena watu wenye
maneno mengi na hotuba ndefu na tamutamu zilojaa ahadi hewa, tunataka
vitendo, maneno tushaskia sana yanatosha, now ni action tu, big up
Lowassa. Wanaotaka maneno waende kwa wenye maneno wanaotaka vitendo
tubaki na Lowassa wetu!
-By CK


Note: Only a member of this blog may post a comment.