Hatimaye Zari The Bosslady ameamua kumjibu ex wake Ivan na swahiba wake King Lawrenc ambao wamekuwa wakimtupia madongo kuwa mtoto wake Tiffah si wa Diamond, ni wao.
King Lawrence alienda mbali zaidi kwa kutumia kampuni ya wanasheria
kumtaka achukue vipimo vya DNA vya kichanga hicho chenye zaidi ya
followers 80k kwenye Instagram.

Zari ametumia Instagram kuwajibu kwa kudai kuwa wanachofanya wawili hao ni visasi ambavyo anaamini hufanywa na vilaza!
“Visasi hufanywa na vilaza,” ameandika Zari kwenye Instagram.
“BO$$LADY anafahamu kuwa huzuni aliyonayo mtu mwenye chuki wakati
akiangalia furaha na mafanikio yake ni adhabu tosha. Inabidi niyageuzie
mgongo mambo yate ya kijinga yanayoendelea. Naendelea kuwaua kwasababu
watu hutaka kuzima taa inayowaka zaidi kwao,” ameongeza.
Diamond tayari alishatoa majibu yake kufuatia hatua hiyo ya Ivan na Lawrence!
KAMA ULIMISS! BOFYA HAPA!
KAMA ULIMISS! BOFYA HAPA!

Note: Only a member of this blog may post a comment.