Lagos Nigeria MWANAMUZIKI
mwimbaji maarufu wa Nigeria, Wizkid, amesema hataki maisha ya anasa ya
kutumia fedha ovyo, bali anataka kuonyesha upendokwa watu wake, jambo
ambalo linamlazimu kufanya kazi kwa nguvu.
Pamoja na kwamba ana mpango wa kuanzisha taasisi ya kuwasaidia watu wenye matatizo, mwimbaji huyo amesema hakuna kitu chenye thamani zaidi kwake kuliko mwanaye, Boluwatife.Amesema atampenda mwanaye hadi kifo chake na kwamba anaongeza bidii katika masuala ya muziki kwa ajili yake.
Pamoja na kwamba ana mpango wa kuanzisha taasisi ya kuwasaidia watu wenye matatizo, mwimbaji huyo amesema hakuna kitu chenye thamani zaidi kwake kuliko mwanaye, Boluwatife.Amesema atampenda mwanaye hadi kifo chake na kwamba anaongeza bidii katika masuala ya muziki kwa ajili yake.
Note: Only a member of this blog may post a comment.