Lagos Nigeria TANGU aliposhinda
mashindano ya kwanza ya kutafuta mwanamuziki mwenye kipaji ambayo
yalitayarishwa na kampuni moja kubwa ya mawasiliano, Inyanya,
mwanamuziki wa Nigeria na mtunzi wa wimbo wa ‘Kukere’ amekuwa ‘gumzo la
mjini’.
Katika
mahojiano na kituo cha televisheni cha MTV, mwanamuziki huyo kutoka
jimbo la Cross River aliyepandishwa chati na wimbo wake wa ‘Kukere’,
amesema kwamba kama asingekuwa mwanamuziki angekuwa mfanyabiashara.
Hata hivyo, hakusema ni biashara gani angeifanya.
Tuesday, June 23, 2015
JE, UMEZISOMA HABARI HIZI?

List Kamili ya Washindi wa WatsUPTV African Awards 2016, Watanzania Wanne Wamesh...

MSIBA: Mwanamuziki Mkongwe wa UK, George Michael Afariki Dunia

Mwanamuziki Mkongwe Celine Dion Apiga Chini Ofa ya Rais Mteule wa Marekani, Dona...

Gazeti Kubwa UK Liitwalo Guardian Limetoa Nyimbo Kumi Bora za Africa Mwaka 2016,...

Huyu Ndiye Mpenzi Mpya wa Nicki Minaj (+Pichaz)

Kim Kardashain na Mumewe Kanye West Wakata Ngebe za Ma-Haters Wanaoiombea Mabaya...
USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK
TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)
Filed Under:
CELEBRITIES
on Tuesday, June 23, 2015
Note: Only a member of this blog may post a comment.