Dakika 90 za mchezo wa ligi kuu Vodacom Tanzania kati ya timu ya Stand United ya Shinyanga na Yanga zimemalizika kwa timu ya Yanga kuifunga Stand United bao 3-2
Mchezo umefanyika katika uwanja wa taifa jijini Dar es salaam
FT' Yanga 3 - 2 Stand United
Magoli Ya Yanga=>Tambwe 30, Ngasa 45, Msuva 77(Penati)
Magoli Ya Stand United =>Kheri Khalifa 21, 65)
FT' Yanga 3 - 2 Stand United
Magoli Ya Yanga=>Tambwe 30, Ngasa 45, Msuva 77(Penati)
Magoli Ya Stand United =>Kheri Khalifa 21, 65)

Note: Only a member of this blog may post a comment.