Sunday, March 29, 2015

Anonymous

NEW UPDATES: POLISI WAZUIA MWILI WA ABDUL BONGE KUSAFIRISHWA KWENDA MOROGORO!


Mwili wa aliyekuwa Meneja wa wasanii na mwanzilishi wa kundi la Tip Top Connection,Ulitegemewa kusafirishwa mchana huu kuelekea Morogoro kwaajili ya mazishi.

Lakini Polisi wamedai bado wanaendelea na uchunguzi wa mwili hivyo mwili hautoweza kusafirishwa mchana huu,mpaka Polisi watakapo maliza uchunguzi..
Tupia R.I.P yako kama ishara ya kumuombea ndugu yetu huyu apumzike salama.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.