Kwa kutumia App ambayo una-install kwenye smartphone ama iPad, halafu unaunganisha kwenye simu kupitia tundu la kuwekea headphone, basi majibu ya vipimo hivyo yanapatikana ndani ya dakika 15!
Hii ni iPhone ikiwa imeungwa na kifaa hicho.
Inasemekana hadi sasa wanawake 96 kutoka Uganda wamefanyiwa vipimo kwa njia hiyo na kupata majibu yanayoridhisha na kuchapishwa kwenye jarida la masuala ya sayansi na tiba Uganda.
JIUNGE
NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.KAMA KUNA TATIZO AU
UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142.ASANTE NA KARIBU
TENA!


Note: Only a member of this blog may post a comment.