Polisi ililazimika kutumia nguvu kutuliza ghasia uwanjani
Shirikisho la soka barani Afrika CAF limeiadhibu nchi ya Guinea ya Ikweta baada ya mashabiki wake kufanya vurugu katika mchezo wa nusu fainali.Guinea ya Ikweta inatakiwa kulipa faini ya pauni 65,000 (US$100,000) kwa vurugu zilizofanywa na Mashabiki wake na kusababisha mchezo wa nusu fainali kati yao na Ghana kusimama kwa muda.
Pia watatakiwa kuwahudumia mashabiki 36 waliopata majeruha katika vurugu hizo.
Sasa hivi kwa kutumia Smartphone yako unaweza kufanya vipimo vya HIV, magonjwa ya zinaa!
===>>SOMA ZAIDI HAPA!
===>>SOMA ZAIDI HAPA!
JIUNGE
NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.KAMA KUNA TATIZO AU
UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142.ASANTE NA KARIBU
TENA!


Note: Only a member of this blog may post a comment.